Luka 4:18-19
“Roho wa Bwana yu juu yangu, kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema; amenituma kuwatangazia wafungwa uhuru wao, na vipofu kupata kuona tena, kuwaacha huru waliosetwa, kuwatangaza mwaka wa kibali cha Bwana.”
“Roho wa Bwana yu juu yangu, kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema; amenituma kuwatangazia wafungwa uhuru wao, na vipofu kupata kuona tena, kuwaacha huru waliosetwa, kuwatangaza mwaka wa kibali cha Bwana.”